BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA ATEMBELEWA NA MWAKILISHI WA KAMPUNI YA WATATU, INAYOENDESHWA NA WAJAPANI WALIOJITOLEA NCHINI
Tarehe 13 Februari 2026, Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa amepokea ugeni wa Bi. Reina Kato, mwakilishi wa Kampuni ya WATATU, taasisi ya Wajapani waliowahi kujitolea nchini Tanzania kupitia Mpango wa Japan…
Read More






