Bilateral Relation Change View → Listing

Balozi Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na mwakilishi wa Kampuni ya WATATU, inayoendeshwa na wajapani watatu waliojitolea nchini Tanzania kupitia Mpango wa JICA.

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA ATEMBELEWA NA MWAKILISHI WA KAMPUNI YA WATATU, INAYOENDESHWA NA WAJAPANI WALIOJITOLEA NCHINI

Tarehe 13 Februari 2026, Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa amepokea ugeni wa Bi. Reina Kato, mwakilishi wa Kampuni ya WATATU, taasisi ya Wajapani waliowahi kujitolea nchini Tanzania kupitia Mpango wa Japan…

Read More
Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TOKUSHUKAI Medical Group, Bw. Higashiue Shinichi, na wawakilishi wengine wa TOKUSHUKAI

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA TAASISI YA TOKUSHUKAI YA JAPAN KATIKA KUIMARISHA HUDUMA ZA UPANDIKIZAJI FIGO NA VIUNGO NCHINI

Tarehe 13 Februari 2026, Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa alifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Tokushukai Medical Group, Bw. Higashiue Shinichi, yaliyojikita katika kuendeleza na…

Read More

TRAVEL TANZANIA WITH CONFIDENCE AND PEACE OF MIND

Your safety is our top priority. The Tanzania Tourism Sector Safety and Protection (TTSSP) is dedicated to ensuring you have a secure, world-class experience while exploring our beautiful country.Before you…

Read More
Balozi Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Japan kwa majadiliano ya Mkataba wa Uwekezaji (Bilateral Investment Treaty – BIT) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan.

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA APOKEA UJUMBE WA TANZANIA WA MAJADILIANO YA MKATABA WA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA JAPAN

Tarehe 11 Februari 2026, Balozi Anderson Mutatembwa amepokea Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Japan kwa majadiliano ya Mkataba wa Uwekezaji (Bilateral Investment Treaty – BIT) kati ya Jamhuri ya Muungano wa…

Read More
Mheshimiwa Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa AFRECO, Bw. Tetsuro Yano mara baada ya kuhitimisha kwa mazungumzo yao.

MAZUNGUMZO KATI YA BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA NA RAIS WA TAASISI YA AFRECO KWENYE MAKAO MAKUU YA TAASISI HIYO JIJINI TOKYO

Tarehe 10 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alifanya mazungumzo na Rais wa The Association of African Economy and Development in Japan…

Read More
Mheshimiwa Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Bw. Ito Hiroyuki, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Wizara ya Sheria ya Japan

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUMGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA IDARA YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA YA WIZARA YA SHERIA YA JAPAN

Tarehe 10 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alikutana na kufanya mazungumzo na Bw. Ito Hiroyuki, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa…

Read More
Maafisa Ubalozi, Bi. Edna Dioniz Chuku na Bw. Hosea Chikolongo kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa Kampuni ya ZENSHO, miongoni mwa makampuni makubwa ya chakula nchini Japan.

MAZUNGUMZO YA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA NA KIJAMII KATI YA TANZANIA NA KAMPUNI YA ZENSHO, JAPAN

Tarehe 9 Februari 2026, Ubalozi ulifanya mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya ZENSHO, miongoni mwa makampuni makubwa ya chakula nchini Japan. Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya…

Read More

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUMGUMZO NA MWENYEKITI WA TAASISI YA NIPPON (NIPPON FOUNDATION), BW. YOEI SASAKAWA KWENYE MAKAO MAKUU YA TAASISI HIYO JIJINI TOKYO

Tarehe 9 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alikutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Nippon, Bw. Yohei Sasakawa. Taasisi…

Read More