BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA CHUO KIKUU CHA TSUKUBA NCHINI JAPAN
Tarehe 30 Aprili 2026, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa University of Tsukuba, Dkt. Kyosuke Nagata. Chuo hicho kipo katika mji wa… Read More







