Publications and Reports Change View → Listing

ZANZIBAR INVESTMENT SUMMIT 2026 - SHAPING ZANZIBAR’S NEXT GROWTH STORY

The Zanzibar Investment Summit 2026 (ZIS 2026) is Zanzibar’s flagship investment forum, organized by the Zanzibar Investment Promotion Authority (ZIPA), bringing together global investors, policymakers, and…

Read More
Balozi Anderson Mutatembwa apokea magari ya zimamoto na uokoaji yaliyotolewa msaada na Japan Firefighters Association kwa Tanzania

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA APOKEA MAGARI YA ZIMAMOTO KUTOKA JAPAN FIREFIGHTERS ASSOCIATION KWA AJILI YA KUIMARISHA UWEZO WA KUKABILIANA NA MAJANGA NCHINI

Tarehe 17 Machi 2026, Balozi Anderson Mutatembwa alipokea kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania msaada wa magari matatu ya zimamoto na uokoaji kutoka Japan Firefighters Association. Magari…

Read More

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AANDAA IFTAR KWA WATANZANIA WAISHIO JAPAN

Tarehe 08 Machi, 2026 Balozi wa Tanzania nchini Japan aliandaa iftar kwa Diaspora wa Tanzania waishio Japan kufuatia mfungo wa Ramadhan unaoendelea.Akiwakaribisha watanzania hao ubalozini kwa ajili ya kufuturu…

Read More

SEMINA KUHUSU TANZANIA KWA WANAFUNZI WALIOHITIMU DARASA LA SITA SHULE YA MSINGI KOMAZAWA JIJINI TOKYO

Tarehe 26 Febuari 2026 ubalozi uliendesha Semina kuhusu Tanzania kwa wanafunzi 79 walihitimu Darasa la Sita katika Shule ya Msingi Komazawa (Komazawa Elementary School) iliyopo Tokyo.Katika Semina hiyo Afisa…

Read More

TRAVEL TANZANIA WITH CONFIDENCE AND PEACE OF MIND

Your safety is our top priority. The Tanzania Tourism Sector Safety and Protection (TTSSP) is dedicated to ensuring you have a secure, world-class experience while exploring our beautiful country.Before you…

Read More
Mheshimiwa Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Bw. Ito Hiroyuki, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Wizara ya Sheria ya Japan

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUMGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA IDARA YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA YA WIZARA YA SHERIA YA JAPAN

Tarehe 10 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alikutana na kufanya mazungumzo na Bw. Ito Hiroyuki, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa…

Read More

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUMGUMZO NA MWENYEKITI WA TAASISI YA NIPPON (NIPPON FOUNDATION), BW. YOEI SASAKAWA KWENYE MAKAO MAKUU YA TAASISI HIYO JIJINI TOKYO

Tarehe 9 Februari 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alikutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Nippon, Bw. Yohei Sasakawa. Taasisi…

Read More

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA ATEMBELEA KAMPUNI YA UKAGUZI WA MAGARI YALIYOTUMIKA YA EAA COMPANY LIMITED

Tarehe 05 Febuari 2026 Balozi wa Tanzania nchini Japan Anderson Mutatembwa alitembelea na kuona shughuli za kampuni ya Ukaguzi wa Magari yaliyotumika kabla ya kusafirishwa kwenda nchi mbalimbali ikiwemo…

Read More