BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA APOKEA UJUMBE WA TERUMO KUJADILI USHIRIKIANO WA KIMKAKATI WA SEKTA YA AFYA
Tarehe 19 Februari 2026, Balozi Anderson Mutatembwa alipokea Ujumbe wa wawakilishi wa Kampuni ya TERUMO ya Japan waliotembelea Ubalozi kwa lengo la kuendeleza majadiliano kuhusu ushirikiano wa sekta ya afya…
Read More






