Bilateral Relation Change View → Listing

Ms. Edna Dioniz Chuku, Counselor (Economic Affairs), delivers a presentation about Tanzania at the Tanzania Promotion Event organized by NGO TOFA. In the photo are also Ms. Vicky Mnzava, Embassy Administrative Attachee, and Ms. Chihiro Tanaka of NGO TOFA.

THE EMBASSY PARTICIPATES IN THE TANZANIA PROMOTION EVENT ORGANISED BY NGO TOFA IN JAPAN

On 7th March 2026, the Embassy participated in a Tanzania Promotion Event organised by NGO TOFA, aimed at enhancing awareness and strengthening people-to-people ties between Tanzania and Japan.The NGO has…

Read More
Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja wawakilishi wa Kampuni ya Well Medical Group iliyopo jijini Tokyo, Japan

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA ATEMBELEA KAMPUNI YA WELL MEDICAL GROUP JAPAN KUIMARISHA USHIRIKIANO WA SEKTA YA AFYA

Tarehe 5 Machi 2026, Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa alifanya ziara ya kikazi katika Kampuni ya Well Medical Group iliyopo jijini Tokyo, Japan, kwa lengo la kujadili fursa za ushirikiano katika sekta ya…

Read More
Ms. Edna Dioniz Chuku, the Embassy Counsellor delivered a Tanzania Seminar at Kyodo Elementary School in Tokyo

THE EMBASSY DELIVERS TANZANIA SEMINAR AT KYODO ELEMENTARY SCHOOL TO STRENGTHEN JAPAN–TANZANIA RELATIONS

On 4th March 2026, the Embassy delivered a Tanzania Seminar at Kyodo Elementary School for approximately 110 Grade 6 students. The Embassy delegation was received by Mr. Kazuhiro Aoshika, Principal of the…

Read More
Tanzania participates at KIZUNA 2026 Spring Program - Presentation Session organised by the Japan International Cooperation Agency at its Headquarters in Tokyo

TANZANIAN STUDENT PRESENTS SUSTAINABLE MINING SOLUTIONS AT JICA KIZUNA 2026 FORUM - PROGRAM PRESENTATION

On 2nd March 2026, the Embassy participated in the KIZUNA Spring Program Presentation Session organised by the Japan International Cooperation Agency at its Headquarters in Tokyo.One of the presenters was a…

Read More
Maafisa Ubalozi, Bi. Edna Dioniz Chuku, Counsellor – Economic Affairs na Bw. Hosea Chikolongo, Mwambata Siasa na Utamaduni, kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa Taasisi ya Zimamoto ya Japan, jijini Tokyo.

UBALOZI WAJADILIANA NA TAASISI YA ZIMAMOTO YA JAPAN, KUIMARISHA USHIRIKIANO WA HUDUMA ZA ZIMAMOTO KATI YA TANZANIA NA JAPAN

Tarehe 27 Februari 2026, Ubalozi ulitembelea Makao Makuu ya Taasisi ya Zimamoto ya Japan kwa lengo la kufanya mazungumzo kuishawishi Mamlaka hiyo kuendelea na mpango wake wa kutoa msaada wa magari ya zimamoto…

Read More
Balozi Anderson Mutatembwa kwenye picha ya pamoja na Bw. Masamichi Terabatake, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Japan Tobacco Inc. (JT) kwenye Makao Makuu ya Kampuni hiyo, jijini Tokyo.

KAMPUNI YA JAPAN TOBACCO (JT) KUENDELEZA UBIA WA KIBIASHARA NA MIRADI YA KIJAMII NCHINI TANZANIA

Tarehe 20 Februari 2026, Mheshimiwa Balozi Anderson Mutatembwa alitembelea Makao Makuu ya Japan Tobacco Inc. (JT) yaliyopo jijini Tokyo na kufanya mazungumzo na Bw. Masamichi Terabatake, Makamu Mwenyekiti wa…

Read More
Balozi Anderson Mutatembwa alipotembelea Kampuni ya UCC (Ueshima Coffee Company) ya Japan na kufanya mazungumzo na Bw. Ryo Satomi, Afisa Mtendaji Mkuu (Sustainability Management) wa kampuni hiyo.

UBALOZI NA KAMPUNI YA UCC WAJADILI MIKAKATI YA KUONGEZA SOKO NA USHINDANI WA KAHAWA YA TANZANIA NCHINI JAPAN

Tarehe 20 Februari 2026, Balozi Anderson Mutatembwa alitembelea Kampuni ya UCC (Ueshima Coffee Company) ya Japan na kufanya mazungumzo na Bw. Ryo Satomi, Afisa Mtendaji Mkuu (Sustainability Management) wa…

Read More
Ubalozi kwenye mkutano na wataalamu wa Tokushukai Medical Group pamoja na JGC Corporation kujadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupandikiza Figo unaotekelezwa kwa ubia baina ya Tokushukai Hospitali ya Benjamin Mkapa na Chuo Kikuu cha Dodoma.

UBALOZI WAJADILI MAENDELEO YA MRADI WA KITUO CHA UPANDIKIZAJI FIGO NA WATAALAMU KUTOKA TAASISI YA TOKUSHUKAI NA KAMPUNI YA JGC ZA JAPAN

Tarehe 19 Februari 2026, Ubalozi ulifanya mkutano na wataalamu wa Tokushukai Medical Group pamoja na JGC Corporation kujadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupandikiza Figo unaotekelezwa kwa ubia…

Read More