MWANARIADHA ALPHONCE FELIX SIMBU KUTOKA TANZANIA, AIBUKA MSHINDI WA TATU KATIKA MASHINDANO YA “OSAKA MARATHON 2023”

Tarehe 26 Februari 2023, mwanariadha kutoka Tanzania, Bw. Alphonce Felix Simbu alishiriki kwenye Mashindano ya Osaka Marathon 2023 yaliyofanyika jijini Osaka, Japan. Mashindano hayo yaliandaliwa na Jiji la…

Read More
H.E. Ambassador Baraka Luvanda in a group photo with Tokushukai Medical Corporation Team and Embassy Staff

THE EMBASSY HOSTS A WORKING DINNER MEETING WITH TOKUSHUKAI MEDICAL CORPORATION TEAM, 17TH FEBRUARY 2023, AT THE AMBASSADOR’S RESIDENCE, TOKYO

The Embassy hosted a working dinner meeting with the Tokushukai Medical Corporation Team of Japan on 17th February 2023, in the run up to the 5th Anniversary of the Kidney Transplant Project in…

Read More

Talk Our Future from Africa - TOFA visits Tanzania on January 23rd to February 6th, 2023

A Japanese NGO - TOFA, visited Tanzania for the third time from January 23rd to February 6th, 2023 to support and promote educational, cultural, and environmental initiatives. They have already visited…

Read More
Balozi Baraka Luvanda kwenye picha ya pamoja na wafanyabiashara na wawekezaji wa nchini New Zealand, mara baada ya kuhitimisha mazungumzo yao

MHE. BALOZI BARAKA LUVANDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KUNDI LA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI WA NEW ZEALAND

Tarehe 7 Februari 2023, Balozi Baraka Luvanda alikutana na kufanya mazungumzo na kundi la wafanyabiashara na wawekezaji wa New Zealand jijini Auckland, New Zealand. Kundi hilo lilijumuisha kampuni tano…

Read More
Balozi Baraka Luvanda kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio New Zealand (Tanzania New Zealand Association – TANZA)

MHE. BALOZI BARAKA LUVANDA AKUTANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA (DIASPORA) WANAOISHI NCHINI NEW ZEALAND

Tarehe 31 Januari 2023, Balozi wa Tanzania nchini Japan ambaye pia anawakilisha nchini New Zealand, Mheshimiwa Baraka Luvanda alikutana na kufanya mazungumzo pamoja na kula chakula cha jioni na Viongozi wa…

Read More
Balozi Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mheshimiwa Bibi. Cindy Kiro

MHE. BALOZI BARAKA H. LUVANDA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA GAVANA JENERALI NA AMIRI JESHI MKUU WA NEW ZEALAND

Tarehe 31 Januari, 2023 saa 7.40 mchana Balozi wa Tanzania nchini Japan ambaye pia anawakilisha nchini New Zealand, Mhe. Baraka Luvanda akiambatana na Bw. Hosea Chikolongo, Afisa Ubalozi na Bw. Stuart J.…

Read More

The Matsumae International Foundation (MIF) Research Fellowship Program 2024 Announcement

The Embassy has received information on a research fellowship program from the Matsumae International Foundation (MIF) for young researchers who seek research opportunities in Japan. The MIF based in Tokyo,…

Read More