News and Resources Change View → Listing

EMBASSY PARTICIPANTS IN SETAGAYA FURUSATO FESTIVAL 2026

On June 6-7, 2026, the Embassy participated in the Setagaya Furusato Festival organized by Setagaya City in Tokyo, Japan. The two-day event provided the Embassy with an opportunity to showcase Tanzania's…

Read More

EMBASSY PARTICIPANTS IN SETAGAYA FURUSATO FESTIVAL ON 6 JUNE 2026

A memorable photo moment as Mr. Herman Berege, ChargĂ© d’Affaires of the Embassy of the United Republic of Tanzania in Japan, presents a token of appreciation to H.E. Marie Claire Mukasine, Ambassador…

Read More

AMBASSADOR ANDERSON MUTATEMBWA VISIT TO NIHONMATSU JICA VOLUNTEERS TRAINING CENTER

On 08 May, 2026 Ambassador of the United Republic of Tanzania to Japan H.E Anderson Mutatembwa paid a visit to JICA Volunteers Training Center in Nihonmatsu, Fukushima Prefecture. Ambassador Mutatembwa…

Read More
Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais wa University of Tsukuba, Dkt. Kyosuke Nagata.

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA CHUO KIKUU CHA TSUKUBA NCHINI JAPAN

Tarehe 30 Aprili 2026, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa University of Tsukuba, Dkt. Kyosuke Nagata. Chuo hicho…

Read More
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipofanya ziara kwenye Taasisi ya Utafiti wa Anga za Juu ya Japan, (Japan Aerospace Exploration Agency - JAXA).

BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA ZIARA KWENYE TAASISI YA UTAFITI WA ANGA ZA JUU YA JAPAN (JAXA) INAYOTARAJIWA KURUSHA SATELITE YA KWANZA YA TANZANIA

Tarehe 30 Aprili 2026, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alifanya ziara kwenye Taasisi ya Utafiti wa Anga za Juu ya Japan, (Japan Aerospace Exploration…

Read More
Semina kuhusu Tanzania katika Chuo Kikuu cha Masomo ya Kigeni cha Tokyo - Tokyo University of Foreign Studies (TUFS), iliyotolewa na Maafisa Ubalozi

UBALOZI WATOA SEMINA KUHUSU TANZANIA KATIKA CHUO KIKUU CHA MASOMO YA KIGENI CHA TOKYO (TUFS)

Tarehe 29 Aprili 2026, Ubalozi ulipata fursa ya kutoa semina kuhusu Tanzania katika Tokyo University of Foreign Studies (TUFS), kupitia mpango wa utoaji wa semina katika vyuo vikuu mbalimbali unaoendeshwa na…

Read More
Mheshimiwa Anderson Gukwi Mutatembwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, akielekea kuwasilisha Hati za Utambulisho (Letter of Credence) kwa Mfalme wa Japan, Naruhito, katika hafla ya kifalme iliyofanyika Ikulu ya Kifalme jijini Tokyo

HAFLA YA KUWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MHESHIMIWA ANDERSON GUKWI MUTATEMBWA KWA MFALME WA JAPAN

Ikulu ya Kifalme, Tokyo. Tarehe 28 Aprili 2026, Mheshimiwa Anderson Gukwi Mutatembwa, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, aliwasilisha Hati za Utambulisho (Letter of Credence) kwa…

Read More
Maafisa Ubalozi kwenye picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Asasi ya Children Meet Countries (CMC) yenye makao makuu jijini Tokyo

UBALOZI WAPOKEA UJUMBE WA ASASI YA CMC KUJADILI USHIRIKIANO WA KUELIMISHA WANAFUNZI MASHULENI KUHUSU MASUALA YA KIMATAIFA

Tarehe 27 Aprili 2026, Ubalozi ulipokea ujumbe kutoka Children Meet Countries (CMC) yenye makao makuu jijini Tokyo. Taasisi hiyo imekuwa ikiandaa warsha na semina maalum mashuleni kwa lengo la kuwapa wanafunzi…

Read More