BALOZI ANDERSON MUTATEMBWA APOKEA UJUMBE KUTOKA TANZANIA ULIOWASILI JAPAN KWA AJILI YA MAFUNZO YA MASUALA YA GESI ASILIA
Tarehe 02 Febuari 2026 katika Ofisi za ubalozi Tokyo, Balozi Anderson Mutatembwa alipokea ujumbe wa Wataalamu 14 kutoka Tanzania waliowasili nchini Japan kwa ajili ya mafunzo ya muda mfupi ya kuwajengea uwezo…
Read More






