ZIARA YA UBALOZI KATIKA CHUO KIKUU CHA OSAKA, JAPAN, TAREHE 7 JUNI 2023
Tarehe 7 Juni 2023, Ubalozi ulifanya ziara katika Chuo Kikuu cha Osaka kilichopo Osaka, Japan na kufanya mazungumzo na Prof. Tekemura Keiko, Mkuu wa Kitivo cha Lugha za Kigeni chuoni hapo. Bi. Edna Dioniz…
Read More






