Publications and Reports Change View → Listing

AVAILABILITY OF VISA APPLICATION ON ARRIVAL AT FACILITIES IN TANZANIA

The Government of the United Republic of Tanzania has NOT stopped Visa Application on arrival options. The facility is available at all entry points for eligible travellers (Nationals of Japan, Australia and…

Read More

H.E. AMBASSADOR BARAKA LUVANDA DELIVERS A LECTURE ABOUT THE CRUCIAL ROLE OF WOMEN AND YOUTHS IN ACHIEVING THE SUSTAINABLE DEVELOPMENT GOALS THROUGH THE LENS OF TANZANIA

His Excellency Ambassador Baraka Luvanda delivered a lecture on 29 October 2024 on the crucial role of women and youth in achieving the Sustainable Development Goals through the lens of Tanzania at the Gunma…

Read More

MAZUNGUMZO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU HALI YA UWEKEZAJI NCHINI NA MATARAJIO YA KONGAMANO LA MIUNDOMBINU LA JAPAN NA TANZANIA LITAKALOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, TAREHE 3 OKTOBA 2024

Leo, tarehe 1 Oktoba 2024, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri, akiwa na Balozi Baraka Luvanda, Balozi wa Tanzania nchini Japan; amezungumza na waandishi wa habari na kutoa…

Read More
Picha ya pamoja na Watendaji Wakuu wa Kampuni ya ITO EN na Tully’s Coffee katika hafla ya uzinduzi wa kahawa mbili mpya kutoka Tanzania zitakazouzwa Kampuni ya ITO EN na Tully’s Coffee, nchini Japan, tarehe 1 Oktoba 2024

HAFLA YA UZINDUZI WA AINA MBILI MPYA ZA KAHAWA YA TANZANIA NCHINI JAPAN, KWA UBIA WA KAMPUNI YA ITO EN LTD NA TULLY’S COFFEE, TAREHE 1 OKTOBA 2024, TOKYO, JAPAN

Leo, tarehe 1 Oktoba 2024, Kampuni ya ITO EN LTD, kampuni tanzu ya Tully’s Co. Ltd., inayomiliki migahawa maarufu ya Tully’s Coffee, imezindua aina mbili mpya za kahawa ya Tanzania, nchini Japan. Aina hizo…

Read More

ZIARA YA UJUMBE WA WAWEKEZAJI SITINI (60) KUTOKA JAPAN NCHINI TANZANIA, KUANZIA TAREHE 1 HADI 5 OKTOBA 2024

Ubalozi unapenda kutoa taarifa kuwa Ujumbe wa wawekezaji 60 kutoka Japan, wanachama wa Shirikisho la Makampuni ya Japan kwa Maendeleo ya Miundombinu Afrika (Japan-Africa Infrastructure Development Association…

Read More

MANANASI YA TANZANIA KUANZA KUUZWA NCHINI JAPAN

Leo, tarehe 24 Septemba 2024, Balozi Baraka Luvanda amepokea kwa mara ya kwanza shehena la mananasi yaliyokaushwa kutoka Tanzania – Bagamoyo (Kimele, Mapinga) kupitia Kampuni ya Taishin Co. Ltd., ya Japan.…

Read More