Bilateral Relation Change View → Listing

MWANARIADHA ALPHONCE FELIX SIMBU KUTOKA TANZANIA, AIBUKA MSHINDI WA TATU KATIKA MASHINDANO YA “OSAKA MARATHON 2023”

Tarehe 26 Februari 2023, mwanariadha kutoka Tanzania, Bw. Alphonce Felix Simbu alishiriki kwenye Mashindano ya Osaka Marathon 2023 yaliyofanyika jijini Osaka, Japan. Mashindano hayo yaliandaliwa na Jiji la…

Read More
H.E. Ambassador Baraka Luvanda in a group photo with Tokushukai Medical Corporation Team and Embassy Staff

THE EMBASSY HOSTS A WORKING DINNER MEETING WITH TOKUSHUKAI MEDICAL CORPORATION TEAM, 17TH FEBRUARY 2023, AT THE AMBASSADOR’S RESIDENCE, TOKYO

The Embassy hosted a working dinner meeting with the Tokushukai Medical Corporation Team of Japan on 17th February 2023, in the run up to the 5th Anniversary of the Kidney Transplant Project in…

Read More

Talk Our Future from Africa - TOFA visits Tanzania on January 23rd to February 6th, 2023

A Japanese NGO - TOFA, visited Tanzania for the third time from January 23rd to February 6th, 2023 to support and promote educational, cultural, and environmental initiatives. They have already visited…

Read More
Balozi Baraka Luvanda kwenye picha ya pamoja na wafanyabiashara na wawekezaji wa nchini New Zealand, mara baada ya kuhitimisha mazungumzo yao

MHE. BALOZI BARAKA LUVANDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KUNDI LA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI WA NEW ZEALAND

Tarehe 7 Februari 2023, Balozi Baraka Luvanda alikutana na kufanya mazungumzo na kundi la wafanyabiashara na wawekezaji wa New Zealand jijini Auckland, New Zealand. Kundi hilo lilijumuisha kampuni tano…

Read More
Balozi Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mheshimiwa Bibi. Cindy Kiro

MHE. BALOZI BARAKA H. LUVANDA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA GAVANA JENERALI NA AMIRI JESHI MKUU WA NEW ZEALAND

Tarehe 31 Januari, 2023 saa 7.40 mchana Balozi wa Tanzania nchini Japan ambaye pia anawakilisha nchini New Zealand, Mhe. Baraka Luvanda akiambatana na Bw. Hosea Chikolongo, Afisa Ubalozi na Bw. Stuart J.…

Read More

MHE. BALOZI BARAKA LUVANDA AFANYA MKUTANO NA BW. ANDO NAOKI, MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA MAENDELEO LA KIMATAIFA LA JAPAN (JICA) ANAYESIMAMIA MASUALA YA AFRIKA KWENYE MAKAO MAKUU YA JICA JIJINI TOKYO

Tarehe 25 Januari 2023, Balozi Luvanda alifanya mkutano na Makamu wa Rais wa JICA, Bw. ANDO Naoki kwenye Makao Makuu ya Shirika hilo jijini Tokyo. Katika mkutano huo, Bw. Naoki aliambatana na Bi. SUZUKI…

Read More

MHE. BALOZI BARAKA LUVANDA AFANYA MKUTANO NA BALOZI SAIDA SHINICHI, MKURUGENZI MKUU WA MASUALA YA AFRIKA WA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA JAPAN KWENYE OFISI ZA WIZARA HIYO JIJINI TOKYO

Tarehe 13 Januari 2023, Balozi Luvanda alifanya mkutano na Balozi Saida Shinichi, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Afrika wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan kwenye Ofisi za Wizara hiyo jijini Tokyo. Lengo la…

Read More

MHE. DK. HUSSEIN ALI MWINYI, RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, AZINDUA DIKO LA KISASA NA SOKO LA SAMAKI MALINDI, ZANZIBAR; TAREHE 10 JANUARI 2023

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kukamilika kwa diko la kisasa na soko la Samaki Malindi ni ushuhuda wa vitendo kwa Wazanzibari kuutafsiri maana halisi ya…

Read More