Bilateral Relation Change View → Listing

WAZIRI MKUU, Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya kushuhudia uwekaji saini Mkataba kati ya Ofisi ya Rais TAMISEMI na Kampuni ya Tumbaku Japan (JT Group), utakayoiwezesha kampuni hiyo kuendelea kutoa huduma za kijamii katika maeneo inayonunua zao hilo nchini

UWEKAJI SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI YA TANZANIA NA KAMPUNI YA TUMBAKU YA JAPAN (JAPAN TOBACCO – JT)

Ubalozi uliratibu na kufanikisha kukamilika kwa uwekaji saini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) baina ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Tumbaku ya Japan (Japan Tobacco – JT), uliofanyika tarehe 12…

Read More

WANAFUNZI WA KITANZANIA CHUO KIKUU CHA AKITA JAPAN WASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA TAMASHA LA KIMATAIFA LA AKITA

Tarehe 03 Septemba, 2023 katika ukumbi wa Stesheni Akita nchini Japan Wanafunzi wa Kitanzania kwa kushirikiana na Ubalozi walishiriki maonesho ya Tamasha la Kimataifa la Akita yaliyoandaliwa na Mamlaka za mji…

Read More
Mheshimiwa Balozi Baraka Luvanda kwenye picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Kampuni ya ITOCHU ya Japan, walipotembelea Ubalozi tarehe 31 Agosti 2023

MKUTANO NA WAWAKILISHI WA KAMPUNI YA ITOCHU YA JAPAN

Tarehe 31 Agosti 2023, Ubalozi ulitembelewa na Ujumbe kutoka Kampuni ya ITOCHU ya Japan, miongoni mwa kampuni kubwa zinazojishughulisha na biashara ya vyakula na vinywaji nchini Japan. Ujumbe huo uliongozwa na…

Read More
The Embassy's officials, Mr. Greyson Ishengoma, Counselor; Ms. Edna Dioniz Chuku, First Secretary - Economic Affairs and Mr. Hosea Chikolongo, Political and Cultural Attaché in a group photo with JICA staff in charge of Tanzania, at JICA HQ in Tokyo

THE EMBASSY PAYS A COURTESY VISIT TO THE JICA HEADQUARTERS IN TOKYO, ON AUGUST 29, 2023

On August 29, 2023, the Embassy met with JICA officials in charge of Tanzania operations at the JICA Headquarters in Tokyo. The meeting introduced the new JICA team responsible for Tanzania affairs. The team…

Read More
Balozi Luvanda kwenye picha na Mabalozi wa Nchi za Afrika na Naibu Katibu Mkuu wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa-UNDP na Mkurugenzi wa Masuala ya Afrika, Bi. Ahuna Eziakonwa, siku moja kabla ya Maadhimisho ya Miaka 30 ya TICAD, jijini Tokyo

MHESHIMIWA BALOZI BARAKA LUVANDA ASHIRIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TICAD YALIYOFANYIKA JIJINI TOKYO, TAREHE 26 AGOSTI 2023

Tarehe 26 Agosti 2023, Balozi Baraka Luvanda aliungana na Mabalozi wengine wa Nchi za Afrika zenye uwakilishi nchini Japan katika Hafla ya Maadhimisho ya Miaka 30 ya Jukwaa la Kimataifa la Tokyo la Kujadili…

Read More

UZINDUZI WA KAHAWA YA TANZANIA KATIKA MIGAHAWA YA KAHAWA YA OBSCURA NCHINI JAPAN

Tarehe 15 Agosti 2023, Ubalozi ulishiriki kwenye uzinduzi wa kahawa ya Tanzania katika Migahawa ya Kahawa ya OBSCURA, iliyopo jijini Tokyo na Hiroshima nchini Japan. OBSCURA ilizindua kahawa aina ya Arabika…

Read More

THE EMBASSY DELIVERS A KEYNOTE SPEECH ON THE OCCASION OF THE 22nd INTERNATIONAL STUDENTS SUMMIT ON FOOD, AGRICULTURE AND ENVIRONMENT ORGANISED BY TOKYO UNIVERSITY OF AGRICULTURE (NODAI)

On August 3rd, 2023, the Embassy participated in the 22nd International Students Summit on Food, Agriculture and Environment organized and hosted by the University of Agriculture (Tokyo NODAI). On behalf of…

Read More

THE EMBASSY PROMOTES TANZANIA’S FOOD RELATED PRODUCTS AT “THE CAFERES JAPAN”, THE LARGEST TRADE SHOW ON THE CAFÉ AND RESTAURANT INDUSTRIES IN JAPAN

On 2nd – 4th August 2023, the Embassy participated and promoted Tanzania’s food related products at the “CAFERES Japan 2023”, the largest trade show on the café and restaurant industries in Japan. The…

Read More