TANZANIA YASHIRIKI KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA KAHAWA NCHINI JAPAN, YALIYOFUNGULIWA RASMI LEO TAREHE 27 SEPTEMBA 2023, JIJINI TOKYO
Leo, tarehe 27 Septemba 2023, Mheshimiwa Baraka Luvanda, Balozi wa Tanzania nchini Japan ameungana na mabalozi pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi zinazozalisha kahawa duniani, kwenye hafla ya ufunguzi wa…
Read More






