ZIARA YA KIKAZI JIJINI OSAKA: MHE. ANDERSON MUTATEMBWA AFANYA MAZUNGUMZO NA PROF. TAKEMURA KEIKO, MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA OSAKA, JAPAN
Tarehe 4 Desemba 2025, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa alifanya ziara ya kikazi jijini Osaka, ambapo alipata nafasi ya kufanya mazungumzo na Profesa Takemura Keiko, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Osaka na…
Read More






