MANANASI YA TANZANIA KUANZA KUUZWA NCHINI JAPAN
Leo, tarehe 24 Septemba 2024, Balozi Baraka Luvanda amepokea kwa mara ya kwanza shehena la mananasi yaliyokaushwa kutoka Tanzania – Bagamoyo (Kimele, Mapinga) kupitia Kampuni ya Taishin Co. Ltd., ya Japan.…
Read More






