MHE. ANDERSON MUTATEMBWA AMTEMBELEA MEYA WA JIJI LA YOKOHAMA, MHE. TAKEHARU YAMANAKA (Phd.) NA KUFANYA MAZUNGUMZO YA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATI YA JIJI HILO NA TANZANIA KUPITIA JIJI LA DAR ES SALAAM
Tarehe 6 Februari 2026, Balozi Anderson Mutatembwa, alifanya mazungumzo na Meya wa Jiji la Yokohama, Mheshimiwa Takeharu Yamanaka (Ph.D), yaliyolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Jiji la Yokohama na Tanzania…
Read More






