TIMU YA RIADHA YA TANZANIA YASHIRIKI KWENYE MASHINDANO YA “NAGAI MARATHON 2022” YALIYOFANYIKA TAREHE 19 OKTOBA 2022, JIJINI NAGAI, JAPAN

Tarehe 16 Oktoba 2022, Ubalozi uliratibu ushiriki wa timu ya riadha ya Tanzania katika Mashindano ya “Nagai Marathon 2022” yaliyofanyika katika jiji la Nagai. Ujumbe wa timu hiyo ilijumuisha wanariadha…

Read More
H.E. Ambassador Baraka Luvanda in a photo pose with Ms. Kuniko Shimizu, CEO of Tanzaniaphilia and Mr. Hosea Chikolongo.

HIS EXCELLENCY AMBASSADOR BARAKA LUVANDA LURES THE HIGH-END TOURISTS FROM CENTRAL JAPAN

H.E. Ambassador Baraka Luvanda, accompanied by Mr. Hosea Chikolongo, Political and Cultural Attaché organized a “Joint Destination Promotion Event in Nagoya, Central Japan on 12 October 2022 with the…

Read More
Mhe. Balozi Baraka Luvanda kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa Bodi ya Kahawa Tanzania na taasisi za Tanzania zinazohusika na kahawa, wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Kahawa Japan 2022, jijini Tokyo

TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KAHAWA JAPAN (JAPAN SPECIALTY COFFEE CONFERENCE & EXHIBITION - SCAJ 2022) KWA MAFANIKIO MAKUBWA, TAREHE 12 - 14 OKTOBA 2022 TOKYO, JAPAN

Tanzania imeshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Kahawa Japan yanayojulikana 2022 Japan Specialty Coffee Conference & Exhibition yaliyoanza tarehe 12 Oktoba 2022 na kuhitimishwa tarehe 14 Oktoba 2022…

Read More

TANZANIA WILL PARTICIPATE IN THE SCAJ WORLD SPECIALTY COFFEE CONFERENCE AND EXHIBITION 2022 (SCAJ2022) FROM 12 TO 14 OCTOBER 2022 IN TOKYO

Tanzania will participate in this year’s SCAJ SPECIALTY COFFEE CONFERENCE & EXHIBITION from 12th -14th October 2022 at Tokyo Big Sight West Hall in Tokyo, Japan. The SCAJ is a coffee-focused event…

Read More

THE EMBASSY PARTICIPATES IN THE “GLOBAL FESTA JAPAN 2022” FROM 1ST TO 2ND OCTOBER, 2022 IN TOKYO

The Embassy participated in “Global Festa Japan 2022" held from 1st -2nd October 2022 at Tokyo International Forum in Tokyo. This is one of Japan's largest international cooperation events to deepen…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKUNDI YA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI WA JAPAN, TAREHE 28 SEPTEMBA 2022, TOKYO

TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na fedha za Mfuko wa Kukuza Uwekezaji barani Afrika kutoka Serikali ya Japan zitakazotolewa kuanzia Machi, 2023.Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa timu…

Read More

WANADIASPORA KUWENI MABALOZI WA KUITANGAZA TANZANIA - WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIZUNGUMZA NA JUMUIYA YA WATANZANIA (DIASPORA) WAISHIO JAPAN, TAREHE 28 SEPTEMBA 2022, TOKYO

Tarehe 28 Septemba 2022 alasiri, Waziri Mkuu Majaliwa alikutana na kusalimiana na Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Diaspora) ijulikanayo kama Tanzanite Society ambayo ina wanachama takribani 400…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA KITAIFA YA HAYATI SHINZO ABE, WAZIRI MKUU MSTAAFU WA JAPAN, TAREHE 27 SEPTEMBA 2022

Tarehe 27 Septemba 2022, Waziri Mkuu Majaliwa alimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye shughuli  ya mazishi ya kitaifa ya Hayati Shinzo Abe, Waziri Mkuu…

Read More